MSF yasema hali ni mbaya Ituri, mashariki mwa DRC, katika Dira ya Dunia TV
Shirika la misaada ya kibinadamu la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeonya kwamba hali katika jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo inazidi kuwa mbaya. MSF inasema watu huko wanakabiliwa na mashambulizi ya vurugu, kulazimishwa kukimbia nyumba zao, na kuhangaika kupata huduma za matibabu. Katika ripoti hiyo mpya, MSF inasema maisha yanazidi kuwa hatari zaidi kwa jamii zilizoko kwenye mzozo huko mashariki mwa DRC, ambapo Umoja wa Mataifa unasema mapigano hayo yamewafanya zaidi ya watu laki moja kukosa makazi. Tangu mwanzo wa mwaka huu, zaidi ya watu 200 wameuawa katika mashambulizi, na wengine wengi kujeruhiwa. MSF inasema madaktari wao wamewatibu manusura wa mashambulizi ya mapanga na risasi, wakiwemo watoto na wanawake wajawazito.
29 Mar 2025
- Ruto is expected to commence his tour of the Mt Kenya region in the first week of April.
29 Mar 2025
- Aden Duale is the third CS in the Ministry since President Ruto took over.
29 Mar 2025
- Raila is taking on a role whose responsibilities are similar to the AUC Chairperson.
29 Mar 2025
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) is seeking to recover Ksh.22.7 million from former Kenya Film Classification Board (KFCB) CEO Dr. Ezekiel Mutua, on grounds that he illegally obtained the amount through unauthorized pay increases and…
29 Mar 2025
- Detectives from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) have arrested three suspected drug traffickers in Maji Mazuri, Mwiki, Nairobi County and recovered a large consignment of bhang.
29 Mar 2025
- Somalia is prepared to offer the United States exclusive control of strategic air bases and ports, its president said in a letter to President Donald Trump seen by Reuters on Friday.
29 Mar 2025
- This follows a crackdown led by the National Authority for the Campaign Against Alcohol and Drug Abuse (NACADA) and the National Police Service (NPS), targeting entertainment joints that are flouting the ban in the region.
29 Mar 2025
- Ruto is expected to commence his tour of the Mt Kenya region in the first week of April.
29 Mar 2025
- Police in Kwale County have arrested 120 suspects linked to the machete-wielding criminal gang known as "panga boys," who have been terrorizing residents in Diani, following a week-long operation.
29 Mar 2025
- Aden Duale is the third CS in the Ministry since President Ruto took over.
29 Mar 2025
- The impact of the accident was so intense that the matatu's bonnet was completely trapped inside the bus.
29 Mar 2025
- The health ministry in Hamas-run Gaza said on Saturday that 921 people have been killed in the Palestinian territory since Israel resumed large-scale strikes on March 18. According to the ministry’s statement, the figure included 25 people killed in the…
29 Mar 2025
- Raila is taking on a role whose responsibilities are similar to the AUC Chairperson.