- 21 views
Baadhi ya vijana wa chama cha National Liberal wanawahimiza wenzao kote nchini kujisajili kuwa wapiga kura kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka-2027 kuhakikisha sauti zao zinasikika. Wakiongea jijini Nairobi, vijana hao walisema wanaendeleza kampeni ya kutoa uhamasisho kuhusu usajili wa wapiga kura kote nchini kumuunga mkono kiongozi wa chama hicho Agustus Muli katika uchaguzi mkuu ujao. Wakati huo huo walitoa wito kwa maafisa watakaoteulia kuwa mwenyekiti na makamishna wa tume ya IEBC kutekeleza kuandaa uchaguzi huo kwa njia ya wazi na uadilifu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Kura yako sauti yako
- 2 Apr 2025 - US President Donald Trump said Tuesday that he had a positive conversation with Egyptian counterpart Abdel Fattah al-Sisi on issues including Gaza, where Washington has proposed displacement of the population.
- 2 Apr 2025 - Emergency workers in Myanmar rescued a woman on Tuesday who had been trapped for more than 90 hours under the rubble of a building after a devastating earthquake that has killed at least 2,700 people.
- 2 Apr 2025 - Opposition chiefs Kalonzo Musyoka, Martha Karua and Eugene Wamalwa have warned that they would reject the new Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) chair if they would not be involved in the appointment. The leaders accused the Kenya…
- 2 Apr 2025 - A man has been charged in Nakuru Court for illegal dealing in and possessing an elephant tusk weighing 47.3 kilograms with an estimated street value of Ksh.4.7 million.
- 2 Apr 2025 - Unshaken Ruto storms Mount Kenya amid political tensions
- 2 Apr 2025 - Relief for parents, students as State seeks input on funding appeals
- 2 Apr 2025 - Fact checking President William Ruto Monday night interview
- 2 Apr 2025 - Duale pleads for 3 weeks to address staff demands
- 2 Apr 2025 - Are Raila and his men in Ruto's Cabinet breaking their oath of secrecy?
- 2 Apr 2025 - Several farmers yet to receive fertilizer amid biting shortage