"Hii dhana ya kuzuia uchaguzi, utekelezaji wake hauonekani hata kwa tochi"
Kimeibuka kikundi ndani ya chama kikuu cha upinzani Chadema kinachojiita G-55.
Katika siku za hivi karibuni kimeibua mjadala katika mitandao ya kijamii hasa baada ya waraka wao kuibuka ukionesha kupinga mkakati rasmi wa Chadema kuelekea uchaguzi mkuu uitwao ‘No reforms, no elections’.
Kundi hili, ambao wanadai wapo zaidi ya watu 55, waliowahi kuwa wagombea ubunge majimbo mbalimbali, watia nia wa ubunge waliopo sasa, wanadai wamepata wito kutoka kwa watia nia wa udiwani wanaotaka kujiunga na kundi.
#bbcswahili #chadema #tanzania
ThumbnailSubscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Apr 2025
- The incident attracted the attention of police forces who were quick on the scene.
18 Apr 2025
- The dissolution comes at a time when more Kenyans are facing unemployment.
18 Apr 2025
- It is called Good Friday despite being a day of sorrow and reflection on Christ's suffering.
18 Apr 2025
- Last week, Orengo boldly told ODM supporters in front of Raila Odinga and President William Ruto that they should stand up and fight for their rights.
18 Apr 2025
- The Kenya Universities and Colleges Central Placement Service (KUCCPS) has announced that limited slots are now available for students to apply for placement at the Kenya Medical Training College (KMTC).
18 Apr 2025
- The incident attracted the attention of police forces who were quick on the scene.
18 Apr 2025
- In the US's 'grand geopolitical chessboard', the EU remains "one of the big, most important parts," Giuliano said.
18 Apr 2025
- Modi shared a post on X detailing his telephone conversation with the tech billionaire and said they had revisited topics from their meeting in Washington earlier this year.
18 Apr 2025
- Five members of the same family in Metembe village, Masimba Ward in Kisii County were attacked and killed by angry villagers last night.
18 Apr 2025
- There are also state lodges in Eldoret, Sagana, Kisumu, Kakamega, Kitale and Kisii.
18 Apr 2025
- Supreme Court granted herbalist Jack Githae legal ownership of the land he bought in 1986.
18 Apr 2025
- He said unguarded comments on foreign affairs could have economic consequences on trade
18 Apr 2025
- Thiam, 62, was the only candidate vying to represent the country's main opposition party