- 3,196 views
Wizara ya elimu imekanusha madai kwamba shule ya upili ya wasichana ya Butere ilizuiwa kuwasilisha tamthilia yao kwa jina Echoes of War, wakati wa tamasha ya kitaifa ya michezo ya kuigiza na filamu iliyoandaliwa katika kaunti ya Nakuru. Waziri wa Julius Ogamba amesema wanafunzi hao walikataa kushiriki kwenye tamasha hiyo bila kuwepo kwa aliyekuwa seneta wa kaunti ya Kakamega Cleophas Malala, ambaye alidaiwa kuwa mwelekezi wa tamthilia hiyo. Na jinsi Kamche Menza anavyotuarifu, swintofahamu hiyo katika shule ya upili ya wavulana ya Kiboron imeibua mdahalo humu nchini huku serikali ikiwashutumu baadhi ya wanasiasa kwa kuingilia tamasha hiyo katika juhudi za kusukuma ajenda zao za kibinafsi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wanafunzi wa shule ya Butere Girls wasusia tamasha ya michezo ya kuigiza kaunti ya Nakuru
- - SOYA AWARDS 2024 ››
- - BBC News Swahili ››
- - Duniani Leo ››
- 19 Apr 2025 - Machakos Governor Wavinya Ndeti on Friday called on the Christian community to reflect on the meaning of Easter and to pray for the country during this sacred period.
- 19 Apr 2025 - At least 143 people died and dozens more went missing after a boat carrying fuel caught fire and capsized in the Democratic Republic of Congo, officials said Friday.
- 19 Apr 2025 - Police in Kisumu East have launched a manhunt for a man who viciously attacked his 24-year-old ex-girlfriend for allegedly leaving him for another man.
- 19 Apr 2025 - Residents of Siaya Township in Siaya Sub-county were left in shock after the lifeless body of a 40-year-old man was discovered inside his house in Mahinga Village, Nyandiwa Sub-location, on Friday evening
- 19 Apr 2025 - The drills are part of a broader agreement between the three countries.
- 19 Apr 2025 - The process is a normal part of skin renewal, but can be disrupted or exaggerated by various factors.
- - Coastal leaders endorse CS Hassan Joho for president in 2032
- 19 Apr 2025 - Coast Regional Police Commander Ali Nuno has assured both local residents and international tourists of heightened security throughout the festive period.
- » As Latin America imprisons perpetrators for life, Gender CS's approach reduces femicide to dependency issues19 Apr 2025 - While Argentina imprisons killers for life, Gender CS suggests economic empowerment alone can prevent murders.
- 19 Apr 2025 - The man fled the scene, leaving the woman with serious injuries.