- 549 views
Watu saba ambao ni washukiwa wa visa mbalimbali vya uhalifu ikiwemo wizi wa magari katika barabara kuu ya Nairobi kuelekea Mombasa wanazuiliwa na polisi katika kituo cha Voi baada ya kukamatwa na maafisa wa usalama. Kamishna wa kaunti ya Taita Taveta Josephine Onunga amesema maafisa wa usalama wamewanasa washukiwa hao baada ya kupata ripoti za kijasusi kuhusu shughuli ambazo wamekuwa wakitekeleza ikiwemo utekaji nyara wa madereva wa malori ya masafa marefu.Onunga amesema maafisa wa usalama wameimarisha doria wakati huu wa sherehe za pasaka na kutoa wito kwa madereva kuwa waangalifu wanapokua barabarani.Aidha amewahakikishia usalama wageni wote wanaozuru kaunti hiyo na hasa mbuga ya wanyamapori ya Tsavo.
Washukiwa saba wanaohusishwa na visa vya wizi wa magari katika barabara ya Mombasa-Nairobi wakamatwa
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 20 Apr 2025 - An Easter Friday disco night turned into a tragedy after two people were electrocuted to death and one other sustained serious injuries.
- 20 Apr 2025 - Police in Nyatike, Migori County are in search of a 62-year-old man accused of defiling his daughter aged 11 years.
- 20 Apr 2025 - A 3-year-old boy was found dead in Wich-Lum area, Siaya County on Saturday evening. The toddler is suspected to have been murdered by his father following a domestic squabble.
- 20 Apr 2025 - At least 11 people, including three children, were killed in New Delhi Saturday after a residential building collapsed on the outskirts of the Indian capital, local reports and authorities said.
- 20 Apr 2025 - The US Supreme Court, in a dramatic nighttime intervention Saturday, blocked President Donald Trump's unprecedented use of an obscure law to deport Venezuelan migrants without due process.
- 20 Apr 2025 - Pope Francis is expected to delight Catholics all over the world during Easter celebrations at the Vatican on Sunday, just weeks after he was fighting for his life in hospital while suffering from pneumonia.
- 20 Apr 2025 - Global tax plans targeting billionaires and multinational companies are running aground, with the United States torpedoing reforms under President Donald Trump.
- 20 Apr 2025 - The Senator claims that he has a broader understanding of the health sector than the CS.
- 20 Apr 2025 - Aides of a top county official are alarmed by his growing dependency on an illegal substance.
- 20 Apr 2025 - Football Kenya Federation (FKF) president Hussein Mohammed has rallied behind Junior Starlets as they face Cameroon in the 2025 FIFA Under-17 Women’s World Cup qualifiers campaign in a crucial match that will be played at Nyayo National Stadium at 3:00…