- 723 views
Polisi mjini Kabarnet wamefanikiwa kuupata mwili wa mhudumu wa bodaboda ambaye alikuwa ametoweka tangu Alhamisi, tarehe 17 Aprili. Hii ni baada ya mshukiwa kukamatwa katika mji wa Eldoret akiendesha pikipiki ya marehemu. Mshukiwa alikiri kumuua mwanaume huyo na kuwaongoza polisi hadi eneo la Kabartonjo, ambako alikuwa ameuficha mwili kwenye kichaka ndani ya bonde. Marehemu, Kevin Kibichii Togoch, anasemekana kuwa alipigiwa simu na mteja aliyekuwa ndani ya mji wa Kabarnet siku ya Alhamisi , simu ambayo inasadikika kuwa mtego kabla ya kutoweka.
Mshukiwa wa mauaji ya mwanabodaboda Kabartonjo akamatwa
- 22 Apr 2025 - Four individuals have been charged at the Milimani Law Courts with conspiracy to defraud different businessmen by falsely claiming they could import sugar from Brazil to Kenya.
- 22 Apr 2025 - There was drama at Njegas Health Centre in Karii Village, Mwea-West, Kirinyaga County after three individuals were rushed to the facility unconscious, allegedly after consuming toxic alcohol.
- 22 Apr 2025 - Kisumu Governor Prof. Anyang’ Nyong’o has slammed the national government, accusing it of undermining devolution by clinging to functions that should be managed by counties, particularly in the roads sector.
- 22 Apr 2025 - The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has launched a probe into an incident where a woman was allegedly assaulted by a police officer in Narok when she went to record a statement.
- 22 Apr 2025 - Titus Wekesa Sifuna, has been arraigned before the Milimani Law Courts under a miscellaneous application.
- 22 Apr 2025 - According to the medical report, the woman suffered soft tissue injuries.
- 22 Apr 2025 - Vocalist and activist Hussein Khalid condemned the incident and demanded an investigation.
- 22 Apr 2025 - Security Minister Mahamadou Sana said the coup attempt was led by current and former soldiers working with 'terrorist leaders'.
- 22 Apr 2025 - Kariobangi North Member of County Assembly Joel Munuve has passed away.
- 22 Apr 2025 - The head of state who was received by the Chinese Minister of Transportation Liu Wei was accompanied by First Lady Rachel Ruto.