- 137 views
Watu wawili wameuawa kwa kupigwa risasi huku wengine wawili wakijeruhiwa katika shambulizi la majambazi lililotokea mapema asubuhi ya jana eneo la Loberer, kwenye barabara ya Marigat kuelekea Chemolingot. Waathiriwa, ambao walikuwa wakielekea katika soko la Nginyang, walivamiwa na majambazi wanaoshukiwa kuwa wamegeuka kuwa wanyang’anyi wa barabarani. Washambuliaji walilenga msafara wa wafanyabiashara uliokuwa ukisindikizwa na polisi, ambapo malori mawili yalishambuliwa kwa risasi. Hali ya taharuki imetanda katika eneo hilo kutokana na mauaji ya wanaume wawili waliokuwa madereva, huku polisi zaidi wakipelekwa kuimarisha usalama. Miili ya marehemu imehifadhiwa katika makafani ya Hospitali ya Kaunti ya Baringo.
Majangili washambulia watu kwenye barabara ya Marigat
- 22 Apr 2025 - Four individuals have been charged at the Milimani Law Courts with conspiracy to defraud different businessmen by falsely claiming they could import sugar from Brazil to Kenya.
- 22 Apr 2025 - There was drama at Njegas Health Centre in Karii Village, Mwea-West, Kirinyaga County after three individuals were rushed to the facility unconscious, allegedly after consuming toxic alcohol.
- 22 Apr 2025 - Kisumu Governor Prof. Anyang’ Nyong’o has slammed the national government, accusing it of undermining devolution by clinging to functions that should be managed by counties, particularly in the roads sector.
- 22 Apr 2025 - The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has launched a probe into an incident where a woman was allegedly assaulted by a police officer in Narok when she went to record a statement.
- 22 Apr 2025 - The DCI revealed the case was escalated to the special unit.
- 22 Apr 2025 - Titus Wekesa Sifuna, has been arraigned before the Milimani Law Courts under a miscellaneous application.
- 22 Apr 2025 - Nyong'o blamed Ruto for deteriorating devolution in a hard-hitting letter.
- 22 Apr 2025 - President Trump and First Lady Melania to attend the funeral at Saint Peter’s Square in the Vatican.
- 22 Apr 2025 - Islamic Military Counter Terrorism Coalition officially launches training program titled Countering Terrorism Financing and Money Laundering
- 22 Apr 2025 - Simone Biles 'not so sure' about competing at Los Angeles Olympics