- 260 views
Kikosi cha wanasheria wa Kanisa la St Joseph Messiah in Africa kimetetea haki za waumini wao dhidi ya agizo la serikali la kulifunga kanisa hilo lenye utata huko Rongo, eneo la Opapo kaunti ya Migori. Uamuzi wa Naibu Kamisama wa Rongo George Matundura kuwazuia waumini wa dhehebu hilo kuingia ndani ya kanisa hilo na kuwalazimisha kurejea nyumbani umeibua hasira na wasiwasi kwa wawakilishi wa kisheria wa kanisa hilo......hatua hiyo ilichukuliwa baada ya watu wawili kufariki wakitafuta uponyaji katika kanisa hilo. Wakili wa kanisa hilo Benard Acholla amesema atawasilisha ombi mahakamani kupinga agizo la serikali.
Serikali yafunga kanisa la St. Joseph Messiah in Africa, Rongo
- - Mwisho ››
- 23 Apr 2025 - Former Agriculture Cabinet Secretary and Party of National Unity (PNU) leader Peter Munya has ruled out any possibility of joining the current government, declaring that his focus is squarely on recapturing the Meru governor seat in the upcoming general…
- 23 Apr 2025 - County governments are yet again on the spot for gobbling billions of shillings on salaries and allowances at the expense of development.
- 23 Apr 2025 - A petition has been filed in court challenging a directive that requires graduate officers in the Kenya Prisons Service to hold a Master's degree as a prerequisite for promotion to the rank of Inspector of Prisons.
- 23 Apr 2025 - Leaders from Kirinyaga County have sharply criticized security agencies and the county government for allegedly frustrating efforts to eradicate illicit brews in Kangai Ward.
- 23 Apr 2025 - Transport was paralysed for the better part of Wednesday morning until the afternoon after angry residents barricaded the Marigat-Nakuru road at Nato.
- 23 Apr 2025 - United Democratic Alliance (UDA) Party Secretary-General Hassan Omar on Wednesday hosted a delegation of Kenya-based Chinese developers at the party headquarters.
- 23 Apr 2025 - It will detail appointments and promotions made during President William Ruto's tenure.
- 23 Apr 2025 - This adds a new twist to the worsening leadership crisis at the varsity.
- 23 Apr 2025 - Kenyans interested in the program have until May 22 to apply.
- 23 Apr 2025 - Kipyegon could achieve something no woman in athletics history has achieved in June.