Skip to main content
Skip to main content

Rais asema Kenya haiwezi kuendelea kutegemea mikopo, awataka wabunge kuidhinisha hazina 2 mpya

  • | KBC Video
    452 views
    Duration: 3:01
    Rais William Ruto amesema Kenya haiwezi kumudu kukopa fedha kutoka kwa wakopeshaji, akitoa wito kwa wabunge kuunga mkono mapendekezo ya kubuni hazina ya utajiri wa kitaifa na hazina ya kitaifa ya miundombinu, mara tu watakaporejelea vikao vya bunge, ili kufanikisha uwezekano wa Kenya kujiunga na orodha ya mataifa yaliyostawi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KBCchannel1 #Kenya #News