Skip to main content
Skip to main content

Serikali yawahakikishia wakenya usalama wao Tanzania baada ya machafuko ya uchaguzi mkuu

  • | Citizen TV
    2,429 views
    Duration: 2:31
    Katibu wa wizara ya Usalama daktari Raymond Omollo amesema kwamba serikali imewahakikishia Wakenya walioko nchi jirani ya Tanzania Usalama wao, kufuatia maandamano yalioshuhudiwa wakati wa uchaguzi mkuu nchini humo.