Shirika la Kitaifa la Udhibiti wa Pombe na Dawa za Kulevya (NACADA) limetoa wito kwa viongozi wa kidini kuchukua jukumu la moja kwa moja katika kushughulikia uraibu wa pombe na mihadarati katika Kaunti ya Nandi. Wito huo ulitolewa wakati wa kikao cha uhamasisho mjini Kapsabet ambapo
Mwenyekiti wa Bodi ya NACADA, Askofu Stephen Mairori, alisema taasisi za kidini zina jukumu muhimu katika kuratibu maadili ya kijamii na kusaidia familia zinazokabiliana na uraibu wa pombe. Askofu Mairori alisema viongozi wa kidini wanapaswa kuhamasisha watu ambao wamezama kwenye lindi la uraibu kuhusu huduma zinazopatikana za urekebishaji mienendo
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News