Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wakutana Homa Bay baada ya watu wawili kuuawa kwenye vurugu za kampeni Kasipul

  • | Citizen TV
    3,223 views
    Duration: 1:29
    Maafisa wa usalama kaunti ya Homa Bay wamefanya mkutano wa dharura na wagombea kiti cha eneo bunge la Kasipul kufuatia mauaji ya watu wawili kwenye machafuko ya kampeni za uchaguzi mdogo