Skip to main content
Skip to main content

Juma Kiboi, mhandisi aliyebobea, astaafu katika shirika la KBC baada ya kuhudumu kwa miaka 33

  • | KBC Video
    81 views
    Duration: 3:42
    Baada ya kuhudumu kwa miaka 33 kwa kujitolea, fundi wa mtambo Juma Kiboi leo alisherehekewa kwa mchango wake mkubwa katika Shirika la Utangazaji humu nchini (KBC). Kiboi, anayejulikana na wenzake kama “Bwana Fix”, amekuwa nguzo muhimu katika idara ya ufundi, akilea vizazi vya wataalamu na kuchangia pakubwa katika mageuzi ya kiteknolojia katika shirika hili. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive