Skip to main content
Skip to main content

Chama cha AFICS chatoa msaada kwa wasiojiweza katika jamii

  • | KBC Video
    128 views
    Duration: 2:26
    Wahisani wamehimizwa kupiga jeki juhudi za kuwasaidia watu wasiojiweza katika jamii. Kulingana na Rais wa chama cha waliokuwa wafanyakazi wa serikali nje ya nchi, Balozi John Kakonge, watu wasiojiweza hususan wazee wanakabiliwa na ufukara, na hivyo ipo haja ya kushirikiana kuwasaidia Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive