Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa maeneo yaliyoko kwenye hatari ya maporomoko ya ardhi waambiwa wahame

  • | KBC Video
    221 views
    Duration: 1:24
    Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya KETRACO, Mhandisi Kipkemoi Kibias, alitembelea eneo la Chesongoch, Kaunti ya Elgeyo Marakwet, ambako alishiriki katika kutoa msaada kwa familia zilizoathiriwa na maporomoko ya ardhi. Mhandisi Kibias aliwasihi wakazi wa maeneo yaliyoko kwenye hatari kuhamia maeneo salama huku mvua kubwa ikiendelea kunyesha. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive