Skip to main content
Skip to main content

Onyo la baraza la makanisa tawi la Kilifi kwa wanasiasa dhidi ya kueneza maneno ya chuki

  • | Citizen TV
    191 views
    Duration: 1:46
    Siku chache tu baada ya nchi ya Tanzania kushuhudia uchaguzi wa rabsha, baraza la makanisa nchini NCCK ukanda wa pwani, limewataka viongozi wa kisiasa kukoma kushiriki kampeni za mapema zinazosheheni maneno ya chuki na uchochezi.