Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kuanti ya Makueni yazindua sera ya kilimo cha Ekolojia

  • | Citizen TV
    396 views
    Duration: 3:18
    Katika harakati za kuongeza uzalishaji wa chakula na kukabiliana na njaa serikali ya Kaunti ya Makueni imezindua rasmi Sera ya Kilimo cha ekolojia , sera ambayo itasaidia kuimarisha kilimo endelevu na kinachoambatana na uhifadhi wa mazingira. Makueni ni miongoni mwa kaunti ya nne ambazo zimezindua sera hiyo humu nchini.