Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa elimu Julius Ogamba asema hakuna shule hewa nchini

  • | Citizen TV
    387 views
    Duration: 1:21
    Waziri wa elimu Julius Ogamba amekanusha madai ya kuwepo kwa shule ghushi nchini na kudai tatizo kuhusu Shule hizo lilichochewa na shule hizo kuchelewa kuwasilisha ripoti na stakabadhi zinazohitajika ofisini mwake kwa wakati unaofaa.