Skip to main content
Skip to main content

Wazazi washauriwa kutowaficha watoto wenye mahitaji maalum katika kaunti ya Samburu

  • | Citizen TV
    208 views
    Duration: 2:46
    Wazazi wa watoto wenye mahitaji maalum katika kaunti ya Samburu, wamehimizwa kutowafungia nyumbani. Wamehimizwa kuwasajili ili wapate msaada na kukabili unyanyapaa.