Skip to main content
Skip to main content

Mwanaume auawa Kirinyaga baada ya kutofautiana kuhusu deni la shilingi hamsini

  • | Citizen TV
    6,572 views
    Duration: 1:28
    Mwanamume mmoja ameuawa kaunti ya Kirinyaga kutokana na ugomvi wa deni la shilingi hamsini. Inadaiwa kuwa marehemu Jacob Maina alifika nyumbani kwa John Wachira kudai pesa hizo.