Skip to main content
Skip to main content

Serikali yakiri Wakenya wanahangaika Saudi Arabia baada ya kuzaa nje ya ndoa

  • | Citizen TV
    14,910 views
    Duration: 2:47
    Serikali sasa imekiri kuwa kina mama wengi wakenya na watoto wao wameendelea kuhangaika nchini Saudi Arabia baada ya kuzaa nje ya ndoa. Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni Musalia Mudavadi sasa akisema serikali imelazimika kuingilia kati swala hili kutokana na sheria kali za nchi hiyo ikiwemo kunyimwa usajili wa watoto hao.