Skip to main content
Skip to main content

Biashara I Benki ya Co-operative imenakili faida ya shilingi Bilioni 21.6 kwa muda wa miezi tisa

  • | KBC Video
    104 views
    Duration: 4:25
    Benki ya Co-operative Group imenakili faida ya jumla ya shilingi Bilioni 21.6 katika kipindi cha miezi tisa ya kwanza ya mwaka huu, hili likiwa ni ongezeko la asilimia 12.3 ambalo lilitokana na mapato ya juu ya riba. Benki ya Co-operative inanuia kutumia shilingi Bilioni 5.88 kwa mgao wa faida wa muda, ambapo wenye hisa watapata shilingi moja kwa kila hisa. Maelezo zaidi ni kwenye mseto ufuatao wa habari za biashara. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive