Skip to main content
Skip to main content

IG Kanja atangaza usajili wa makurutu 10,000 kuendelea baada ya mahakama kuondoa amri ya kusitisha

  • | Citizen TV
    2,033 views
    Duration: 1:04
    Inspekta Jenerali wa polisi Douglas Kanja amesema zoezi la kuwasajili makurutu 10,000 sasa litaendelea baada ya mahakama kuondoa amri iliyokuwa imewekwa kusitisha shughuli hiyo kufuatia kesi iliyowasilishwa mahakamani.Kanja amesema zoezi hilo sasa litaendelea, na kuwa makurutu watakaofuzu watachangia pakubwa katika kuleta mabadiliko kwenye idara ya polisi