Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wamenufaika kwa kupata huduma tofauti za afya

  • | Citizen TV
    125 views
    Duration: 1:34
    Mamia ya wakaazi wa kaunti ya Vihiga wamenufaika kupata matibabu ya bure baada ya kanisa katoliki kaunti ya Kakamega na Vihiga kushirikiana na hospitali ya misheni ya St Lazarus Buyangu kuandaa matibabu ya bure eneo la Chavakali.