Skip to main content
Skip to main content

BBC News Swahili

  • | BBC Swahili
    6,777 views
    Duration: 44s
    Israel imetekeleza shambulizi jipya mjini Doha, Qatar na kusema kwamba ilikuwa inalenga viongozi wakuu wa Hamas. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran Esmail Baghaei amelaani shambulizi hilo. Je hatua hii inaweka wapi matumaini ya kusitisha mapigano huko Gaza? Tunajadili hili mwendo wa saa tatu kamili katika Dira ya Dunia TV ukiwa naye Elizabeth Kazibure. Unaweza kufuatilia matangazo hayo mubashara katika mitandao yetu ya YouTube na Facebook ya BBC Swahili. #bbcswahili #israel #hamas Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw