- 354 views
Licha ya kuwepo kwa utashi wa viungo muhimu vya binadamu nchini, Kenya bado haijaridhia swala la watu kutoa viungo vyao kutumika baada ya kuaga dunia. Katika hospitali ya mafunzo na rufaa ya moi zaidi ya wagonjwa mia tatu wa macho wanahitaji konea. Ukosefu wa konea unamaanisha huenda wasipate uwezo wa kuona ila kwa wenye uwezo watalazimika kununua kutoka taifa la Marekani ambako watu hutoa konea zao kutumika tena wakishaaga dunia. Mahojiano na daktari mkuu wa macho katika hospitali ya Moi anayesema wakati umefika wakenya kuiga mfano wa marekani wa kusaidia wagonjwa. je inawezekana?
Upandikizaji wa konea wafanikishwa katika hospitali ya Moi Eldoret
- 18 Oct 2024 - TikTok and Facebook approved advertisements containing blatant US election falsehoods just weeks ahead of the vote, a watchdog investigation revealed Thursday, calling into question the tech platforms' policies to detect harmful disinformation.
- 18 Oct 2024 - Senate Speaker Amason Kingi has gazetted the impeachment of Deputy President Rigathi Gachagua, consequently formalizing the removal of the country's second in command from office
- 18 Oct 2024 - Ukrainian President Volodymyr Zelensky said Thursday he had intelligence reports that North Korea was training 10,000 soldiers to support Russia in its fight against Kyiv.
- 18 Oct 2024 - After a career in the shadows, spent in Israeli prisons and the internal security apparatus of Hamas, Yahya Sinwar emerged as the leader of the Palestinian group after helping ignite a full-blown war that has engulfed the region.
- 18 Oct 2024 - Kuria made the sentiments minutes after Rigathi was impeached.
- 18 Oct 2024 - Gachagua's tribulations can be traced back to the Constitution
- 18 Oct 2024 - Inaugural KPSEA, KCSE exams to start as schools close for holiday
- 18 Oct 2024 - Relief for TSC boss as High Court throws out corruption petition
- 18 Oct 2024 - Musalia Mudavadi: A second shot at the deputy presidency?
- 18 Oct 2024 - Fifty-three out of 66 senators endorsed the first charge related to Gachaguas controversial shareholding remarks.