Skip to main content
Skip to main content

Je, Hamas watakubali mpango wa Israel na Trump kumaliza vita Gaza?

  • | BBC Swahili
    2,457 views
    Duration: 7:55
    Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Hamas ina siku 3 au 4 kujibu pendekezo la mpango wa amani wa Gaza, alioutangaza akiwa na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu jana Jumatatu. #dirayaduniatv