- 162 views
Hapa ni katikati mwa jiji la Nairobi Maafisa wa polisi walikita kambi hapa tangu asubuhi ,tayari kukabiliana na waandamanaji Na waandamanaji waliothubutu kuingia katikati mwa jiji walitawanywa mara moja Biashara nyingi katikati mwa jiji pia hazikufunguliwa,wafanyabiashara wakihofia kuvamiwa na wahuni. Uchukuzi wa abira pia uliathirika pakubwa,magari machache yakikubaliwa kuingia katikati mwa jiji la Nairobi.Majengo muhimu ya serikali katika jiji kuu la Nairobi pia yalikuwa chini ya ulinzi mkali,mchana kutwa. Barabara za kuekelea katika majengo ya bunge na mahakama ya upeo zilifungwa . Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Maafisa wa polisi walikita kambi kutawanya waandamanaji waliothubutu kuingia katikati ya jiji
- - Duniani Leo ››
- 24 Oct 2024 - A shootout near the capital of Mexico's Sinaloa state killed 19 suspected gang members, while one local cartel leader was arrested, Mexico's defense ministry said on Tuesday, as intra-cartel violence intensifies.
- 24 Oct 2024 - As Namibia prepares to hold a general election next month, the country's main opposition party has objected to the South African company hired to print the ballots.
- 24 Oct 2024 - The United States said for the first time on Wednesday that it had seen evidence of North Korean troops in Russia, and South Korean lawmakers said about 3,000 soldiers had been sent to support the Kremlin's war in Ukraine with more to follow.
- 24 Oct 2024 - On Wednesday, US Ambassador to Kenya Meg Whitman made a telling visit.
- 24 Oct 2024 - Two suspects arrested in connection with the brutal murder of 26-year-old Mercy Rufani will be arraigned in court today. Joseph Ngera Kamau and Fred Mathenge Kanja, both Kenya Army officers based in Embakasi, were the last known individuals to have been…
- 24 Oct 2024 - Nigerian President Bola Tinubu reshuffles his 45-member cabinet, naming seven new members and sacking five.
- 24 Oct 2024 - IMF warns of crisis if no action is taken to create jobs for Gen Z
- 24 Oct 2024 - Kindiki, Wandayi in a spot for snubbing Senate
- 24 Oct 2024 - Moi University fights for survival amid calls for urgent overhaul
- 24 Oct 2024 - Career civil servants in DP's office finally allowed to work