Skip to main content
Skip to main content

Rais wa Marekani anaongoza makubaliano ya amani Israel

  • | Citizen TV
    240 views
    Duration: 1:03
    Rais wa Marekani Donald Trump amewasili Israeli kuongoza makubaliano ya amani Gaza kufuatia makubaliano ya kusitishwa kwa mashambulizi yaliyokuwa yakifanywa na Israeli.