Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Kwale Fatuma Achani atoa basari za KSh.60m

  • | Citizen TV
    177 views
    Duration: 1:27
    Gavana wa Kwale Fatuma Achani ameongoza ugavi wa basari za shilingi milioni 60 kwa wanafunzi 10,000 kutoka kwa familila sizisojiweza wa shule za upili kutoka kaunti hiyo.