- 219 viewsPolisi wa Uganda wamesema Jumapili kuwa idadi ya vifo kutokana na maporomoko ya ardhi kwenye eneo kubwa la kutupia taka mjini Kampala imefikia 21, wakati timu za uokozi zikiendelea kutafuta manusura na idadi ya miili inayopatikana ikielekea kuongezeka. Kwa mujibu wa shirika la habari, mvua kubwa ambazo zimekuwa zikinyesha katika wiki za karibuni zilisababisha kuporomoka kwa sehemu ya eneo hilo, ambalo ndilo pekee linalotumika kutupa takataka mjini humo, na kupelekea kufunikwa kwa baadhi ya nyumba zilizokuwa karibu, wakati wenyewe walipokuwa wamelala. Mamlaka za jiji Jumamosi zilisema kuwa watu 8 walikufa, lakini kufikia leo idadi hiyo imeongezeka hadi 21, huku wengine 14 walijeruhiwa. Kati ya waliofariki miili isiyopungua miwili ilikuwa ya watoto. Shirika la Msalaba mwekundu nchini humo limesema kuwa mahema yamewekwa karibu na eneo la tukio, ili kutoa hifadhi kwa watu walioathiriwa. Eneo hilo linalofahamika kama Kiteezi, kwa miongo mingi limekuwa likitupwa taka taka za Kampala, hadi kugeuka na kuwa mlima, huku wakazi waishio karibu wakilalamika kutokana na taka zenye sumu, pamoja na uharibifu wa mazingira. Nchini Ethiopia, takriban watu 115 walikufa 2017 baada ya eneo la taka mjini Addis Ababa kuporomoka, huku wengine 17 wakifa 2018, mjini Maputo, Msumbiji, kwenye tukio sawa na hilo. – Reuters, AP, VOA #uganda #kampala #takataka #dumpo #maporomoko #vifo #polisi #voa #voaswahili
Idadi ya vifo katika eneo la kutupia takataka vyafikia 21
- - New look, still us ››
- 22 Apr 2025 - Nominated Senator Gloria Orwoba has criticised the newly sworn-in Gender Cabinet Secretary (CS) Hanna Cheptumo over her suitability for the role.
- 22 Apr 2025 - Cardinals gathered Tuesday at the Vatican to begin scheduling Pope Francis’ funeral and burial, planning the conclave to elect his successor and making other decisions about running the Catholic Church as world leaders and ordinary faithful grieved the…
- 22 Apr 2025 - The Vatican published Tuesday a photo and video of Pope Francis in his open coffin, dressed in a red robe with the papal mitre on his head and a rosary in his hand.
- 22 Apr 2025 - Two people have been shot dead while two other sustain gunshot injuries at Loberer, Baringo County on Monday.
- 22 Apr 2025 - Women's Rights Advisor's ambitious three-year program shows little activity since December launch.
- 22 Apr 2025 - The soldier is remembered as the "Hero of Nairobi" for saving several people during the Dusit D2 attack.
- 22 Apr 2025 - Police in Sotik, Bomet county have mounted a search for a middle-aged man who allegedly strangled his 38-year-old wife to death.
- 22 Apr 2025 - After spending more than five weeks in hospital for a bout of double pneumonia, doctors told Pope Francis he needed two months' rest - but the leader of the world's 1.4 billion Catholics kept working right to the end.
- 22 Apr 2025 - The government argues that there is a need to streamline grassroot leadership.
- 22 Apr 2025 - National Treasury Cabinet Secretary John Mbadi says that Kenya will not face any external debt obligations between 2032 and 2048, attributing the current pressure on debt repayments to the fact that most loans are now reaching maturity. He gave the…