- 25 views
Hali ya taharuki ilitanda mjini Kapenguria baada ya wanaharakati pamoja na wenyeji wa maeneo ya Kanyerus, Nakwijit, Orwa, Endough na Kitikomor kuandaa maandamano ya amani kutokana na unyakuzi wa ardhi maeneo hayo.
Wakiongozwa na mwanaharakati,Kimutai Kirui, wenyeji hao waliwasilisha kesi hizo katika afisi ya kamishina wa kaunti hiyo, bunge la Kaunti hiyo na kwenye afisi ya seneta wa kaunti hiyo.
Kulingana nao visa vya unyakuzi wa ardhi vimekidiri kaunti hiyo kwani baadhi ya mashamba yana zaidi ya hatimiliki moja.
Wenyeji hao wanamtaka waziri wa ardhi nchini kuingilia kati na kutatua swala hilo.
#TV47Matukio
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __
Wanaharakati wa Kapenguria na wenyezi waandaa maandamano ya amani kutokana na unyakuzi wa ardhi
- - Duniani Leo ››
- 24 Oct 2024 - As Namibia prepares to hold a general election next month, the country's main opposition party has objected to the South African company hired to print the ballots.
- 24 Oct 2024 - The United States said for the first time on Wednesday that it had seen evidence of North Korean troops in Russia, and South Korean lawmakers said about 3,000 soldiers had been sent to support the Kremlin's war in Ukraine with more to follow.
- 24 Oct 2024 - IMF warns of crisis if no action is taken to create jobs for Gen Z
- 24 Oct 2024 - Kindiki, Wandayi in a spot for snubbing Senate
- 24 Oct 2024 - Moi University fights for survival amid calls for urgent overhaul
- 24 Oct 2024 - Career civil servants in DP's office finally allowed to work
- 24 Oct 2024 - Government unites against Impeached DP Rigathi Gachagua
- 24 Oct 2024 - Thangwa seeks four year term for elected leaders
- 24 Oct 2024 - Four people were killed and 14 others wounded in an attack at the Turkish Aerospace Industries' headquarters on Wednesday, the government said, and witnesses said they heard gunfire and a loud explosion at the site near Ankara.
- 24 Oct 2024 - Safaricom CEO Peter Ndegwa has apologised to the firm’s customers following the significant power outage recorded at the telco in late June 2024 that coincided with the anti-government demonstrations.