- 2,078 views
Rais William Ruto ametetea mfumo wa ufadhili wa elimu ya juu huku sasa akisema wizara ya elimu itaongeza ufadhili wa elimu na mikopo kwa wanafunzi wasiojiweza. Rais akisema kuwa mabadiliko ya mfumo huu wa elimu ni muhimu ili kuhakikisha wanafunzi wasiojiweza wanamudu kupata elimu. Matamshi ya rais yakijiri wakati ambapo hisia zimeendelea kuhusiana na mfumo mpya wa ufadhili wa elimu kwa kuzingatia mtazamo wa kimapato. Rais alikuwa akizungumza wakati wa hafla ya kufuzu kwa wanafunzi wa chuo kikuu cha Eastern Africa Baraton kaunti ya Nandi.
Rais Ruto ametetea mfumo mpya wa ufadhili vyuo vikuu
- 25 Oct 2024 - Cabinet Secretary for Public Service and Human Capital Development Justin Muturi has called on Kenyans to collect their identification documents, as thousands remain unclaimed nationwide.
- 25 Oct 2024 - Detectives have recovered a motor vehicle believed to have been used in the abduction and subsequent murder of three family members who went missing from Eastleigh before their bodies were found.
- 25 Oct 2024 - Family of murdered Wells Fargo HR manager demands justice
- 25 Oct 2024 - Suspect confesses to killing four women, pleads for mercy
- 25 Oct 2024 - Data privacy concerns as KRA targets mobile phones in new tax push
- 25 Oct 2024 - Kenyans drink dirty water due to poor management, study says
- 25 Oct 2024 - End of high-stakes KCPE as 1.3m begin Grade Six assessment tests
- 25 Oct 2024 - The three-judge bench hearing the case challenging the impeachment of Rigathi Gachagua as Deputy President is expected to rule on Friday whether to grant or dismiss Gachagua’s application requesting the judges to disqualify themselves from the case.
- 25 Oct 2024 - Police are piecing together the last movements of slain Wells Fargo HR Manager Willis Ayieko, whose mutilated body was found dumped at the Mungowere stream in Siaya County on Wednesday.
- 25 Oct 2024 - The Ministry of Education has been challenged to fully enact the Competency-Based Curriculum (CBC) policy to ensure that learners receive the full benefits of the education system.