- 40 views
Uamuzi wa bunge la seneti la kumng’atua afisini gavana Kawira Mwangaza ambao iwapo utaidhinishwa na mahakama huenda ukamtokomeza kisiasa umepokelewa kwa hisia mseto miongoni mwa wakazi wa kaunti ya Meru. Huku wawakilishi wadi waliopiga kura kumng’atua gavana huyo wakisherehekea kwa densi na nyimbo, baadhi ya wakazi walionekana kuunga mkono hatua ya gavana huyo ya kutafuta haki mahakamani wakidai alihujumiwa kisiasa, huku wengine wakisema anafaa kuondoka ofisini kwa manufaa ya maendeleo ya kaunti. Hizi hapa baadhi ya semi za wakazi hao kuhusu hatua ya bunge la seneti.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Wakazi wa Meru watoa maoni baada ya kubanduliwa kwa Gavana Mwangaza
- 26 Oct 2024 - France's National Assembly on Friday approved an amendment to the government's 2025 belt-tightening budget bill that would hit the country's wealthiest individuals with a billionaires tax.
- 26 Oct 2024 - In Uruguay's capital Montevideo and around this South American nation of 3.4 million people, voters are gearing up for Sunday's election, overshadowed by a plebiscite on pensions the same day and fears over crime.
- 26 Oct 2024 - A prolific "catfish" offender who pushed one of his victims, a 12-year-old US girl, to commit suicide was on Friday jailed for life at a court in Northern Ireland.
- 26 Oct 2024 - Clergy's redemption lies in hybrid regulation
- 26 Oct 2024 - My ex-husband didn't give a coin for Sh70m property, says athlete
- 26 Oct 2024 - Savannah ups offer in fight for Bamburi with Tanzania firm
- 26 Oct 2024 - Kenya must embrace diversity to achieve real national prosperity
- 26 Oct 2024 - All systems set for Monday's final national primary assessment
- 26 Oct 2024 - Impeached Gachagua suffers blow after judges stay put on hearing his case
- 26 Oct 2024 - Quarter of medical training schools fail to meet standards