- 12 views
Mandhari ya kisheria ya taifa hili yameshuhudia mabadiliko ya kihistoria kufuatia kusimikwa kwa Dorcas Oduor kama mwanamke wa kwanza kushikilia wadhifa wa mwanasheria mkuu. Akitoa hotuba yake ya uzinduzi, Mwanasheria mkuu Dorcas Oduor alitangaza mikakati ya mageuzi ikiwa ni pamoja na uhifadhi wa rekodi kidijitali katika idara ya udhibitishaji na usimamizi pamoja na mipango na uhifadhi wa rekodi za ndoa kidijitali. Oduor alisisitiza kujitolea kwake kuboresha utoaji huduma kwa umma kupitia siku maalum za kutoa huduma za kisheria bila malipo ili kuanza sura mpya katika mageuzi ya kisheria nchini na uhusishaji wa jamii.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mwanasheria mkuu mpya Dorcas Oduor aanza majukumu
- 26 Oct 2024 - France's National Assembly on Friday approved an amendment to the government's 2025 belt-tightening budget bill that would hit the country's wealthiest individuals with a billionaires tax.
- 26 Oct 2024 - In Uruguay's capital Montevideo and around this South American nation of 3.4 million people, voters are gearing up for Sunday's election, overshadowed by a plebiscite on pensions the same day and fears over crime.
- 26 Oct 2024 - A prolific "catfish" offender who pushed one of his victims, a 12-year-old US girl, to commit suicide was on Friday jailed for life at a court in Northern Ireland.
- 26 Oct 2024 - Clergy's redemption lies in hybrid regulation
- 26 Oct 2024 - Migori teachers reject proposals to merge KPSEA candidates in smaller institutions
- 26 Oct 2024 - Impeached Gachagua suffers blow after judges stay put on hearing his case
- 26 Oct 2024 - US President Joe Biden was set on Thursday to deliver a historic apology for one of the country's "darkest chapters": the abduction of Native American children from their families and placement in abusive boarding schools aimed at erasing their culture.
- 26 Oct 2024 - Action must help diminish fossil fuel extraction
- 26 Oct 2024 - My ex-husband didn't give a coin for Sh70m property, says athlete
- 26 Oct 2024 - Savannah ups offer in fight for Bamburi with Tanzania firm