- 261 views
Naibu Rais Rigathi Gachagua ametoa changamoto kwa viongozi katika muungano tawala, kusitisha siasa na badala yake kuangazia utekelezaji wa ahadi za serikali. Gachagua aliyekuwa akihudhuria hafla ya mazishi katika kaunti ya Kiambu, aliwaambia viongozi kaunti hiyo wanaolenga kuwania wadhifa wa urais mwaka wa 2027 na 2032, kupunguza kasi kuhusu siasa za urithi. Haya yanajiri huku baadhi ya viongozi kutoka eneo hilo wakimuunga mkono Gachagua kama kiongozi wa eneo la Mlima Kenya.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Viongozi wa Mlima Kenya wataka gachagua awe msemaji wao
- 26 Oct 2024 - France's National Assembly on Friday approved an amendment to the government's 2025 belt-tightening budget bill that would hit the country's wealthiest individuals with a billionaires tax.
- 26 Oct 2024 - In Uruguay's capital Montevideo and around this South American nation of 3.4 million people, voters are gearing up for Sunday's election, overshadowed by a plebiscite on pensions the same day and fears over crime.
- 26 Oct 2024 - A prolific "catfish" offender who pushed one of his victims, a 12-year-old US girl, to commit suicide was on Friday jailed for life at a court in Northern Ireland.
- 26 Oct 2024 - Clergy's redemption lies in hybrid regulation
- 26 Oct 2024 - My ex-husband didn't give a coin for Sh70m property, says athlete
- 26 Oct 2024 - Savannah ups offer in fight for Bamburi with Tanzania firm
- 26 Oct 2024 - Kenya must embrace diversity to achieve real national prosperity
- 26 Oct 2024 - All systems set for Monday's final national primary assessment
- 26 Oct 2024 - Impeached Gachagua suffers blow after judges stay put on hearing his case
- 26 Oct 2024 - Quarter of medical training schools fail to meet standards