- 32 views
Waziri wa Leba na utunzi wa jamii Dkt Alfred Mutua amependekeza asilimia sita ya malipo ya uzeeni kwa wafanyakazi wa humu nchini na pia wale wanaofanya kazi ughaibuni kwa ajili ya kustaafu kwao chini ya mpango wa hazina ya malipo ya uzeeni -NSSF. Mutua alitoa pendekezo hilo wakati alipokuwa akielezea masuala tata yanayoathiri sekta hiyo. Mutua aliapa kukabiliana na mashirika ya ulaghai wa uajiri ambayo yametajwa na kuhusishwa na sakata za kuwalaghai wakenya wanaotafuta ajira pamoja na kutwaa hati zao za kusafiri.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Waziri Alfred Mutua apendekeza nyongeza ya malipo ya kustaafu
- 26 Oct 2024 - France's National Assembly on Friday approved an amendment to the government's 2025 belt-tightening budget bill that would hit the country's wealthiest individuals with a billionaires tax.
- 26 Oct 2024 - In Uruguay's capital Montevideo and around this South American nation of 3.4 million people, voters are gearing up for Sunday's election, overshadowed by a plebiscite on pensions the same day and fears over crime.
- 26 Oct 2024 - A prolific "catfish" offender who pushed one of his victims, a 12-year-old US girl, to commit suicide was on Friday jailed for life at a court in Northern Ireland.
- 26 Oct 2024 - Clergy's redemption lies in hybrid regulation
- 26 Oct 2024 - All systems set for Monday's final national primary assessment
- 26 Oct 2024 - Impeached Gachagua suffers blow after judges stay put on hearing his case
- 26 Oct 2024 - Quarter of medical training schools fail to meet standards
- 26 Oct 2024 - William Ruto risks falling into the trap of not getting the truth
- 26 Oct 2024 - Public participation empowers people to seek genuine growth
- 26 Oct 2024 - Migori teachers reject proposals to merge KPSEA candidates in smaller institutions