- 4 views
Chuo kikuu cha Nairobi kiliandaa shindano la kipekee kwa jina ' SLIC', la umahiri wa tahajia almaarufu Spelling, kusherehekea lugha ya ishara hapa nchini, kupitia kauli mbiu ya kuunganisha ulimwengu, raia wake na jamii kupitia lugha ya ishara. SLIC inatafsiriwa kuwa lugha ya ishara shuleni, huku shindano hilo likiwaleta pamoja watoto wanaoweza na wasio na uwezo wa kusikia kutoka shule mbalimbali za msingi kote nchini. Yusuf Farah ana maelezo zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Shindano la umahiri wa tahajia laandaliwa UON, lilihusisha walio na wasio na uwezo wa kusikia
- 22 Sep 2024 - At least 31 people died in an Israeli airstrike on a Beirut suburb on Friday, the Lebanese health ministry said on Saturday, including three children and seven women, in the deadliest strike in a year of conflict between Hezbollah and Israel.
- 22 Sep 2024 - Somalia has accused neighbouring Ethiopia of supplying weapons to its northeastern Puntland region, which this year unilaterally declared it would act as an independent state despite protests from the central government.
- 22 Sep 2024 - Gaza's civil defence agency reported 21 killed in an Israeli strike on Saturday, the latest attack on a school sheltering displaced Palestinians where the Israeli military said it targeted militants.
- 22 Sep 2024 - Why Kenya-Germany jobs deal is double-edged sword for workers
- 22 Sep 2024 - Kenya's nuclear electricity plan faces cost, environment hurdles
- 22 Sep 2024 - Masengeli caricature
- 22 Sep 2024 - Tale of the Ethiopian Eunuch and why Africa must discover self-love
- 22 Sep 2024 - Safaricom consortium gets Sh104b contract for digital health system
- 22 Sep 2024 - Uhuru-era policies and 'roadside' declarations haunted by queries
- 22 Sep 2024 - ODM, UDA leaders gang up against Gachagua