Mmoja wa wanachama wa Waafrika wanaoishi ughaibuni alizungumza na Jeff Swicord wa VOA hivi karibuni na alikuwa na haya ya kusema kuhusu haki ya kupiga kura na pia kuwa salama hata baada ya kumkosoa Rais au kiongozi yoyote Marekani. Kabla ya Kamala Harris kuingia katika kinyang’anyiro cha urais ukusanyaji maoni umeonyesha kuwa karibunusu ya wapiga kura hawakuwa wanafurahishwa na wote Rais Biden na Rais wa zamani Trump. April tulizungumza na mmoja wa wanachama wa Waafrika wanaoishi ughaibuni ambaye pia anafikiria kutopiga kura. Jeff Swicord hivi karibu alimtembelea tena kuona kama ugombea wa Kamala Harris umemfanya afikirie tena uamuzi wake.
#uchaguzi #marekani #diaspora #voa #voaswahili #drc #republikan #demokratik #rais #gavana
21 Apr 2025
- African leaders praised the "legacy of compassion" and "commitment to inclusivity" of Pope Francis as they joined global mourning over his death on Monday.
21 Apr 2025
- South Sudan's army said it had recaptured a key town in Upper Nile state that it lost to an ethnic Nuer militia in March in clashes which led to the arrest of First Vice President Riek Machar and a spiralling political crisis.
21 Apr 2025
- Former President Uhuru Kenyatta has joined leaders and catholic faithful worldwide in mourning Pope Francis who passed on early this morning.
21 Apr 2025
- A hush reigned over the normally boisterous St Peter's Square on Monday as the faithful and the curious alike gathered at the seat of Catholicism to mark the death of Pope Francis.
21 Apr 2025
- The Eiffel Tower's landmark illuminations will be switched off on Monday night in memory of Pope Francis who died aged 88, Paris mayor Anne Hidalgo said.
21 Apr 2025
- Sunday's scheduled canonisation of the Catholic Church's first millennial saint has been postponed to a later date after the death of Pope Francis, the Vatican said on Monday.
21 Apr 2025
- With the death of Pope Francis, announced by the Vatican on Monday, Roman Catholics around the globe will start speculating on who among the red-robed cardinals will succeed him.