Warning: mycustom_views_query_alter(): Argument #1 ($view) must be passed by reference, value given in Drupal\Core\Extension\ModuleHandler->Drupal\Core\Extension\{closure}() (line 426 of core/lib/Drupal/Core/Extension/ModuleHandler.php).
Warning: mycustom_views_query_alter(): Argument #2 ($query) must be passed by reference, value given in Drupal\Core\Extension\ModuleHandler->Drupal\Core\Extension\{closure}() (line 426 of core/lib/Drupal/Core/Extension/ModuleHandler.php).
Warning: Undefined property: Drupal\views\ViewExecutable::$name in mycustom_views_query_alter() (line 10 of modules/custom/mycustom/mycustom.module).
Video ya harusi iliyopotea miaka 57 iliyopita yapatikana
Wanandoa nchini Australia wamekabidhiwa tena picha zao za harusi zilizopotea miaka 57 iliyopita baada ya kupatikana kwa bahati mbaya.
Aileen na Bill Turnbull walifunga ndoa huko Aberdeen, kaskazini-mashariki mwa Scotland, mwaka wa 1967, na baadaye wakahama eneo hilo bila video hiyo.
Picha hizo zilipatikana baada ya mwanaume mmoja huko Aberdeen kuhamisha video hizo za zamani kwenye DVD na baadaye kuchapisha kwenye mtandao wa kijamii.
#bbcswahili #australia #teknolojia
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
22 Oct 2024
- Candidates sitting for this year’s Kenya Certificate of Secondary Education (KSCE) will be issued with the new Maisha Card before the end of the assessment, Immigration and Citizen Services Principal Secretary Julius Bitok has announced.
22 Oct 2024
- Isiolo Governor Abdi Guyo finally appeared before a Senate committee after multiple summons and fines imposed for failing to honour the Senate.
22 Oct 2024
- Rigathi Gachagua was stretchered into hospital as the Deputy President of the Republic of Kenya but when he walked out three days, he was a member of the opposition.