Warning: mycustom_views_query_alter(): Argument #1 ($view) must be passed by reference, value given in Drupal\Core\Extension\ModuleHandler->Drupal\Core\Extension\{closure}() (line 426 of core/lib/Drupal/Core/Extension/ModuleHandler.php).
Warning: mycustom_views_query_alter(): Argument #2 ($query) must be passed by reference, value given in Drupal\Core\Extension\ModuleHandler->Drupal\Core\Extension\{closure}() (line 426 of core/lib/Drupal/Core/Extension/ModuleHandler.php).
Warning: Undefined property: Drupal\views\ViewExecutable::$name in mycustom_views_query_alter() (line 10 of modules/custom/mycustom/mycustom.module).
Ndugu wenye majonzi wakiitambua miili ya wachimba mgodi 20 waliouwawa Pakistan
Watu wenye bunduki waliwauwa wachimba migodi 20 na kuwajeruhi wengine 7 huko kusini magharibi mwa Pakistan, afisa wa polisi alisema Ijumaa, huku mamlaka zikilaani tukio hilo, wakati operesheni ya kuwasaka washambuliaji hao ikiendelea.
Tukio hili la hivi karibuni katika jimbo la Balochistan lenye ghasia limekuja siku kadhaa kabla ya mkutano mkuu wa usalama ambao mji mkuu huo ndiyo mwenyeji wa mkusanyiko huo.
Watu hao wenye silaha walivamia eneo la malazi la machimbo ya mkaa wa mawe huko wilaya ya Duki Alhamisi usiku sana, wakawazingira wanaume hao na kuwapiga risasi, afisa wa polisi Hamayun Khan Nasir alisema.
Alisema kuwa washambuliaji hao pia walifyatua roketi na kurusha maguruneti katika mgodi wa mkaa wa mawe na kuharibu vifaa ya kuchimbia mgodi kabla ya kutoweka. - AP
#mgodi #machimbo #balochistan #pakistan #polisi #familia #hospitali
12 Oct 2024
- The third edition of the Climate Justice Camp (CJC), which is in its final lap in Arusha, Tanzania, with a majority of the population being youth representing over 90 countries globally, is targeted at sharing knowledge on environment, conservation and…
12 Oct 2024
- Kenya will send 600 more police officers to Haiti next month to bolster an international anti-gang mission, President William Ruto said on Friday during a visit by the Haitian prime minister intended to speed up deployments to the force.
12 Oct 2024
- Narcotic drugs worth over Ksh.176.5 million have been destroyed at the DCI National Forensic Laboratory following the conclusion of a court process.
12 Oct 2024
- There was drama outside the Mbita Law Courts on Friday after the father of a 12-year-old boy who was shot dead during anti-government protests in Nairobi disagreed with a court ruling.
12 Oct 2024
- Nakuru Governor Susan Kihika was forced to plead with mourners in Bahati Constituency on Friday to let her read President William Ruto’s message of condolence at a funeral after the crowd became hostile to any statements from Kenya Kwanza leaders.
11 Oct 2024
- The Court of Appeal has overturned the High Court decision that upheld the sentencing of Sirisia Member of Parliament John Waluke to 67 years in prison with an option of a Ksh.1 billion fine over a maize importation scam.