Warning: mycustom_views_query_alter(): Argument #1 ($view) must be passed by reference, value given in Drupal\Core\Extension\ModuleHandler->Drupal\Core\Extension\{closure}() (line 426 of core/lib/Drupal/Core/Extension/ModuleHandler.php).
Warning: mycustom_views_query_alter(): Argument #2 ($query) must be passed by reference, value given in Drupal\Core\Extension\ModuleHandler->Drupal\Core\Extension\{closure}() (line 426 of core/lib/Drupal/Core/Extension/ModuleHandler.php).
Warning: Undefined property: Drupal\views\ViewExecutable::$name in mycustom_views_query_alter() (line 10 of modules/custom/mycustom/mycustom.module).
Idda Mihindi ni daktari wa tiba kwa binadamu na mbunifu wa afya katika sekta ya afya nchini Tanzania.
Pia ni mwanzilishi wa kiwanda kinachozalisha taulo za kike mbadala (SODO) zinazoweza kutumika tena ambazo ni rafiki wa mazingira yaani ‘Fursa pads’.
Kupitia ubunifu wake, Idda anachangia kufikia lengo la kupunguza changamoto ya upatikanaji wa vifaa vya hedhi barani Afrika na kwingineko.
Kupitia kipindi cha Waridi wa BBC Idda Mihindi anaanza kwa kumuelezea Esther Namuhisa teknolojia anayoitumia kutengeneza taulo hizo za kike mbadala nchini Tanzania.
🎥: @frankmavura
#bbcswahili #waridiwabbc #tanzania
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
22 Oct 2024
- Candidates sitting for this year’s Kenya Certificate of Secondary Education (KSCE) will be issued with the new Maisha Card before the end of the assessment, Immigration and Citizen Services Principal Secretary Julius Bitok has announced.
22 Oct 2024
- Isiolo Governor Abdi Guyo finally appeared before a Senate committee after multiple summons and fines imposed for failing to honour the Senate.
22 Oct 2024
- Rigathi Gachagua was stretchered into hospital as the Deputy President of the Republic of Kenya but when he walked out three days, he was a member of the opposition.
22 Oct 2024
- Candidates sitting for this year’s Kenya Certificate of Secondary Education (KCSE) exams will receive the new Maisha Card before the end of the examination period, according to Immigration and Citizen Services PS Julius Bitok. The issuance of these ID…