Msigwa aeleza bado anaimani timu ya Tanzania itafuzu AFCON 2025
Geron Msigwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wa kufuzu kuingia kwenye michuano ya Afcon 2025 kati ya Taifa Stars -Tanzania na timu ya DRC Leopard kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa mjini Daressalaam Tanzania.
Baada ya mchezo Katibu wa wizara hiyo Gerson Msigwa ameelezea kutoridhishwa na matokeo hayo huku akionyesha imani juu ya timu hiyo kufuzu fainali za AFCON 2025 zitakazofanyika nchini Morocco.
Timu ya Taifa ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars imepoteza mchezo wa marejeano wa kufuzu fainali za AFCON 2025 dhidi ya DR Congo kwa mabao 2-0 mchezo uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Mabao ya Congo yamefungwa na mshambuliaji Meshack Elia katika dakika za 88 na 90+, nyota huyo akiitumikia Young Boys ya Uswisi katika ngazi ya klabu.
Licha ya kupoteza mashabiki wa Stars wamezungumzia mchezo huo wakionyesha ilipokosea.
Hadi sasa kwenye msimamo wa kundi H, linaongozwa na DR Congo wenye pointi 12 ambao tayari wamefuzu kwenye fainali hizo, Tanzania (Taifa Stars) nafasi ya pili ikiwa na pointi 4, Guinea nafasi ya tatu pointi 3, Ethiopia ikishika mkia ikiwa na pointi 1.
#tanzania #afcon2025 #drc #naibuwaziri #hamismwinjuma #daressalaam #benjaminmkapa #uwanja
16 Oct 2024
- Deputy President Rigathi Gachagua is facing the battle of his political career. Any unexpected sittings are bad news for him.
16 Oct 2024
- Already, the Senate impeachment trial has begun, with the DP expected to take plea.
16 Oct 2024
- A legal showdown is set to take place in the Senate on Wednesday and Thursday.
16 Oct 2024
- Kang'ata, who rarely dabbles in national politics and is almost always seen immersed in the affairs of his county, on Wednesday, October 16, met up with the former ODM Chairman at an undisclosed location, revealing that the meeting was to take stock on…
16 Oct 2024
- Members of Parliament have raised concerns over the continued sale of pesticides and herbicide deemed harmful in other countries.
16 Oct 2024
- President William Ruto has praised the local banking sector for its role in boosting the growth of medium and small market enterprises (MSMEs).
16 Oct 2024
- Members of Parliament on Tuesday demanded answers from Environment Cabinet Secretary Aden Duale over the ongoing demolitions in the informal settlements along riparian land across Nairobi.
16 Oct 2024
- The Kenya Revenue Authority (KRA) was at pains to clarify the potential availability of contraband goods within the British Army Training Unit Kenya (BATUK) facility in Nanyuki.
16 Oct 2024
- US authorities have hit Lufthansa with a record $4 million (Ksh.516,840,000) penalty after finding the airline discriminated against over 100 Jewish travelers by blocking them from boarding a flight in 2022, officials said Tuesday.
16 Oct 2024
- The Kenya National Examinations Council (KNEC) has officially released the timetable for the Kenya Primary School Education Assessment (KPSEA).
16 Oct 2024
- Cabinet Secretary for Cooperatives and MSMEs Wycliffe Oparanya has directed the New KCC to submit a progress report on their restructuring process within 90 days amid calls for streamlining benefit payments to farmers.
16 Oct 2024
- While moving the motion, Osoro informed the house that there are several pending business matters that require the members' attention.
16 Oct 2024
- The impeachment case against the embattled Deputy President Rigathi Gachagua has taken a fresh turn after a witness released contradicting statements regarding the ownership of the Olive Garden Hotel.