Idadi ya wapiga kura wanawake imeendelea kuwa juu zaidi kuliko wanaume katika uchaguzi wa rais
Idadi ya wapiga kura wanawake imekuwa ni juu zaidi kuliko kwa wanaume katika uchaguzi wa rais Marekani tangu mwaka 1984. Kwa mujibu wa Center for Women in American Politics, wanawake wamekipigia kura chama cha Democratic dhidi ya Republican katika kila uchaguzi wa rais tangu mwaka 1992.
William Frey, Taasisi ya Brookings anaeleza: “Siyo tu wanawake wanajitokeza kwa wingi zaidi kuliko wanaume, lakini wao wanaishi muda mrefu zaidi kuliko wanaume, kwahiyo wale walio katika makundi ya wazee watakuwa na uwakilishi mkubwa zaidi kutoka kwa wanawake.”
William Frey wa taasisi ya Brookings anaelezea takwimu za karibuni za idadi ya watu Marekani na kuonyesha namna kura ya wanawake itakavyokuwa mwaka huu wa 2024. Anasema mwenendo unakipendelea chama cha Democratic, kwa kiasi kwasababu wapiga kura wengi hivi leo ni wanawake ambao wahitimu kutoka katika vyuo.
#wanawake #uchaguziwarais #marekani #wazungu #waafrika #republikans #demokratiki
16 Oct 2024
- The suspect is currently being detained ahead of pre-trials slated for November 19, 2024.
16 Oct 2024
- The fire has engulfed some floors of the four-floor building that houses businesses.
16 Oct 2024
- EPRA through a gazzette notice last week revealed that electricity costs will increase marginally in October.
17 Oct 2024
- The risk of cholera spreading in Lebanon is "very high", the World Health Organization warned Wednesday, after a case of the acute and potentially deadly diarrhoeal infection was detected in the conflict-hit country.
17 Oct 2024
- Israel carried out dozens of strikes on Hezbollah targets in Lebanon on Wednesday, killing a city mayor, toppling buildings and causing widespread destruction in several southern areas.
17 Oct 2024
- Kamala Harris takes her media blitz into opposition territory Wednesday with an interview on Fox News, as Donald Trump seeks to use the same network to connect with female voters wary of his record.
17 Oct 2024
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has come out to clarify concerns by the public regarding the recent arrest of a senior Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) official over the forgery of academic documents.
17 Oct 2024
- Blow to DP after Kingi dismisses all objections
17 Oct 2024
- We need more Adani-type deals to grow, says Mbadi
17 Oct 2024
- Mutuse: No citizen should make remarks DP uttered
17 Oct 2024
- Nutrition and education in focus as Kenya marks World Food Day
17 Oct 2024
- Kenya Power eyes home internet space in new digitalisation plan
17 Oct 2024
- Mutuse under fire as Gachagua rips apart critical evidence