Warning: mycustom_views_query_alter(): Argument #1 ($view) must be passed by reference, value given in Drupal\Core\Extension\ModuleHandler->Drupal\Core\Extension\{closure}() (line 426 of core/lib/Drupal/Core/Extension/ModuleHandler.php).
Warning: mycustom_views_query_alter(): Argument #2 ($query) must be passed by reference, value given in Drupal\Core\Extension\ModuleHandler->Drupal\Core\Extension\{closure}() (line 426 of core/lib/Drupal/Core/Extension/ModuleHandler.php).
Warning: Undefined property: Drupal\views\ViewExecutable::$name in mycustom_views_query_alter() (line 10 of modules/custom/mycustom/mycustom.module).
Shabiki wa Timu ya DRC Leopard aeleza furaha yake kwa ushindi dhidi ya Taifa Stars
Timu ya Taifa ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars imepoteza mchezo wa marejeano wa kufuzu fainali za AFCON 2025 dhidi ya DR Congo kwa mabao 2-0 mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Mabao ya Congo yamefungwa na mshambuliaji Meshack Elia katika dakika za 88 na 90+, nyota huyo akiitumikia Young Boys ya Uswisi katika ngazi ya klabu.
Licha ya kupoteza mashabiki wa Stars wamezungumzia mchezo huo wakiipongeza timu hiyo.
Hadi sasa kwenye msimamo wa kundi H, linaongozwa na DR Congo wenye pointi 12 ambao tayari wamefuzu kwenye fainali hizo, Tanzania (Taifa Stars) nafasi ya pili ikiwa na pointi 4, Guinea nafasi ya tatu pointi 3, Ethiopia ikishika mkia ikiwa na pointi 1.
Shabiki wa timu ya DRC Leopard alikuwa na haya ya kusema baada ya ushindi...
#tanzania #afcon2025 #drc #naibuwaziri #hamismwinjuma #daressalaam #benjaminmkapa #uwanja #mashabiki #uingereza
17 Oct 2024
- In a dilapidated building in Mozambique's Indian Ocean city of Beira, a dozen young men work away at handcrafting humble coffins from wooden pallets discarded by cargo ships that dock at its huge port.
17 Oct 2024
- Deputy Chief Justice Philomena Mwilu has said that if Deputy President Rigathi Gachagua's impeachment process goes back to the courts, the judges will follow the process outlined in the constitution.
17 Oct 2024
- Political analyst Sandra Njoki believes that the cross-examination of Mwengi Mutuse, the Member of Parliament who moved the motion to impeach Deputy President Rigathi Gachagua, was impartial.
17 Oct 2024
- In his final months in office, President Joe Biden is signaling new willingness to use U.S. military assistance to Israel as both a carrot and a stick to influence its high-stakes confrontation with Iran and Iran-backed militant groups.
17 Oct 2024
- "We were all enjoying ourselves, as we’ve swum here before, but suddenly, our friend Peter Muhia, 27, cried out for help. Despite our efforts, we couldn’t save him," Muchoki recounted.
17 Oct 2024
- It's all systems go as senior government and military officials concluded preparations for this year's Mashujaa Day celebrations scheduled for Sunday, October 20,2024 in Kwale county. The new-look Kwale stadium is ready to host this year’s 61st Mashujaa…
17 Oct 2024
- Kwale County Governor Fatuma Achani is hosting her fellow women governors for the G7 summit which is being held in the County for the first time. Her colleagues Governors including Anne Waiguru (Kirinyaga), Cecily Mbarire (Embu), Wavinya Ndeti (Machakos…
17 Oct 2024
- Eldoret High Court has been told that the manager of Agnes Tirop, the two-time World 10,000 metre bronze medalist feared for her life months before he murder.