- 643 viewsMajimbo hayo ambayo ni maarufu kama ‘Swing States’ ni muhimu kushinda kuingia White House mwaka 2024. Majimbo haya yanayoshindaniwa yanashuhudia kampeni kali za kisiasa na za gharama, na wapiga kura wake wanaushawishi mkubwa katika uchaguzi huo. Kwa hivyo hili linafanyika vipi? Majimbo mengi zaidi yanatabirika kuwa mekundu au bluu (Republikan au Democratic), hivyo chaguzi zao hazina ushindani. Lakini katika swing states, matokeo ya uchaguzi yanaweza kuelemea upande wowote. Mgombea anahitaji kura za wajumbe 270 kati ya 538 kushinda urais, kawaida kuna majimbo ambayo mshindi anachukua kura zote za wajumbe. Swing states hutoa kura za maamuzi, na kuwaruhusu wagombea kuvuka kizingiti kilichowekwa. Mwaka huu, Arizona, Georgia, Michigan, Nevada, North Carolina, Pennsylvania na Wisconsin wana uamuzi nani ataingia White House. Kati yao, kuna kura za wajumbe 93 ambazo zinaweza kuelemea upande mwekendu au bluu. Majimbo haya yana kura chache za wajumbe kwa sababu ya uwiano wa karibu kati ya wapiga kura wa Republikan na Demokrat. Kuhama kwa idadi ya watu na ushindani wa maoni kati ya maeneo ya mijini na vijijini unafanya matokeo hayatabiriki. Endelea kusikiliza... #swingstates #marekani #uchaguzimkuu2024 #warepublikan #wademokratiki #wapigakura
Yafahamu majimbo maarufu kama 'Swing States' ambayo wagombea ni muhimu kushinda kuingia White House
- 21 Apr 2025 - African leaders praised the "legacy of compassion" and "commitment to inclusivity" of Pope Francis as they joined global mourning over his death on Monday.
- 21 Apr 2025 - South Sudan's army said it had recaptured a key town in Upper Nile state that it lost to an ethnic Nuer militia in March in clashes which led to the arrest of First Vice President Riek Machar and a spiralling political crisis.
- 21 Apr 2025 - Former President Uhuru Kenyatta has joined leaders and catholic faithful worldwide in mourning Pope Francis who passed on early this morning.
- 21 Apr 2025 - A hush reigned over the normally boisterous St Peter's Square on Monday as the faithful and the curious alike gathered at the seat of Catholicism to mark the death of Pope Francis.
- 21 Apr 2025 - Twenty-three bombs have been found underground in holes dug by residents of Hellu village, Moyale constituency, Marsabit county.
- - The Vatican, a papal powerhouse, world's smallest state
- 21 Apr 2025 - The Eiffel Tower's landmark illuminations will be switched off on Monday night in memory of Pope Francis who died aged 88, Paris mayor Anne Hidalgo said.
- 21 Apr 2025 - Sunday's scheduled canonisation of the Catholic Church's first millennial saint has been postponed to a later date after the death of Pope Francis, the Vatican said on Monday.
- 21 Apr 2025 - With the death of Pope Francis, announced by the Vatican on Monday, Roman Catholics around the globe will start speculating on who among the red-robed cardinals will succeed him.
- 21 Apr 2025 - The Mbagathi Hospital, which remains idle, was meant to save the government from expensive private medical insurance schemes.