- 259 viewsMajimbo hayo ambayo ni maarufu kama ‘Swing States’ ni muhimu kushinda kuingia White House mwaka 2024. Majimbo haya yanayoshindaniwa yanashuhudia kampeni kali za kisiasa na za gharama, na wapiga kura wake wanaushawishi mkubwa katika uchaguzi huo. Kwa hivyo hili linafanyika vipi? Majimbo mengi zaidi yanatabirika kuwa mekundu au bluu (Republikan au Democratic), hivyo chaguzi zao hazina ushindani. Lakini katika swing states, matokeo ya uchaguzi yanaweza kuelemea upande wowote. Mgombea anahitaji kura za wajumbe 270 kati ya 538 kushinda urais, kawaida kuna majimbo ambayo mshindi anachukua kura zote za wajumbe. Swing states hutoa kura za maamuzi, na kuwaruhusu wagombea kuvuka kizingiti kilichowekwa. Mwaka huu, Arizona, Georgia, Michigan, Nevada, North Carolina, Pennsylvania na Wisconsin wana uamuzi nani ataingia White House. Kati yao, kuna kura za wajumbe 93 ambazo zinaweza kuelemea upande mwekendu au bluu. Majimbo haya yana kura chache za wajumbe kwa sababu ya uwiano wa karibu kati ya wapiga kura wa Republikan na Demokrat. Kuhama kwa idadi ya watu na ushindani wa maoni kati ya maeneo ya mijini na vijijini unafanya matokeo hayatabiriki. Endelea kusikiliza... #swingstates #marekani #uchaguzimkuu2024 #warepublikan #wademokratiki #wapigakura
Yafahamu majimbo maarufu kama 'Swing States' ambayo wagombea ni muhimu kushinda kuingia White House
- - Duniani Leo ››
- 18 Oct 2024 - Ukrainian President Volodymyr Zelensky said Thursday he had intelligence reports that North Korea was training 10,000 soldiers to support Russia in its fight against Kyiv.
- 18 Oct 2024 - After a career in the shadows, spent in Israeli prisons and the internal security apparatus of Hamas, Yahya Sinwar emerged as the leader of the Palestinian group after helping ignite a full-blown war that has engulfed the region.
- 18 Oct 2024 - Malala, the former UDA Sec Gen was himself removed after being accused of being a Gachagua man.
- 18 Oct 2024 - This came after the Senate's resolution to impeach the former deputy president.
- 18 Oct 2024 - Investigators are piecing together Payne's last moments and examining the potential involvement of third parties.
- 18 Oct 2024 - "Fame at such a young age is a very, very difficult thing."
- 18 Oct 2024 - Kibra's Gen Z game-changer using her voice to challenge cultural stereotypes and empower her community
- 18 Oct 2024 - The mastermind of the October 7, 2023 attack that triggered the Gaza war, was killed on Thursday, Israeli said
- 18 Oct 2024 - Relief for TSC boss as High Court throws out corruption petition
- 18 Oct 2024 - Musalia Mudavadi: A second shot at the deputy presidency?