Mfumo wa uchaguzi wa Marekani unategemea kura za wajumbe hutumika kumpa ushindi rais
Baada ya kila chama kumteua mteule wa kuwania urais, mteule huyo kimkakati humchagua mgombea mwenza kwa ajili ya uchaguzi mkuu.
Timu huanza kazi kwa bidii kwa kampeni ya matayarisho kwa ajili ya siku ya mwisho ya upigaji kura hapo Novemba 5, Jumanne ya kwanza ya mwezi Novemba.
Siku ya uchaguzi, wapiga waliojiandikisha wanakwenda katika vituo vya kupigia kura kumchagua mgombea uraia wa chama chao.
Rais kimsingi ataamuliwa na mfumo maarufu unaoitwa kura za wajumbe.
Kura za wajumbe inaundwa na wawakillishi, au wapiga kura, ambao wametengwa kulingana na matokeo ya kupiga kura katika kila jimbo. Majimbo yenye idadi kubwa ya watu wana wapiga kura wengi zaidi. Majimbo yenye idadi ndogo ya watu yana wapiga kura wachache.
Kushinda urais, mgombea lazima apate wingi wa kura za wajumbe kiasi cha kura 270.
Wapiga kura halafu wanapiga kura zao mwezi mmoja baadaye. Lakini rais mpya hachukui madaraka mpaka atakapoapishwa mwishoni mwa mwezi Januari.
#kurazawajumbe #electoralcollege #rais #uchaguzimkuu2024 #voa #voaswahili
19 Oct 2024
- The move comes months after Ruto dismissed cabinet secretaries.
19 Oct 2024
- The directive comes following the impeachment of Rigathi Gachagua as Deputy President.
19 Oct 2024
- The latest directive comes barely a day after CS Joho issued a 60-day ultimatum to miners.
19 Oct 2024
- Detectives from the e Directorate of Criminal Investigations (DCI) have arrested three suspects, Patrick Njuguna Karogi, James Kiratu, and Susan Njoki Waithira, accused of drugging and robbing revellers in Nairobi.
19 Oct 2024
- Kamala Harris and Donald Trump will roll out starkly contrasting celebrity back-up this weekend in Pennsylvania and Michigan -– among the most prized of the battleground states set to decide the tightest of US presidential races.
19 Oct 2024
- Detectives from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) have arrested two individuals believed to be the masterminds of a spate of robberies targeting female students at Laikipia University main campus.
19 Oct 2024
- A US judge on Friday let Google delay opening Android-powered smartphones to rival app shops, suspending a November 1 deadline ordered in an antitrust case brought by Fortnite-maker Epic Games.
19 Oct 2024
- Hamas vowed Friday not to release the hostages seized during its October 7 attack on Israel until the Gaza war ends, as it mourned the death of its leader Yahya Sinwar.
19 Oct 2024
- Democratic Action Party of Kenya party leader Eugene Wamalwa claims there is a plot to have the courts schedule a hearing at night this weekend to proceed with the impeachment of Deputy President Rigathi Gachagua.
19 Oct 2024
- The move comes months after Ruto dismissed cabinet secretaries.
19 Oct 2024
- Industry players have underscored the need to bridge the gap between students and the job market by applying classroom learning to real-world problems. Speaking at a career fair at Zetech University, Wambui Macharia the Manager People and Talent…
19 Oct 2024
- The government is targeting to collaborate with the private sector in delivering electronic extension services to farmers across the country.
19 Oct 2024
- The directive comes following the impeachment of Rigathi Gachagua as Deputy President.