- 68 viewsRais wa Kenya William Ruto Ijumaa alimteua waziri wa mambo ya ndani Kithure Kindiki kuwa naibu wake mpya, siku moja baada ya baraza la Seneti kupiga kura ya kumtimua naibu wake wa zamani, Rigathi Gachagua. “Nimepokea ujumbe kutoka kwa rais, kuhusu kuteuliwa kwa Profesa Kithure Kindiki kushika nafasi hiyo ambayo imetokea afisini,” Spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang’ula alisema Ijumaa, akiwahutubia wabunge mjini Nairobi. Gachagua, ambaye alikanusha mashtaka yote dhidi yake wakati wa kesi ya kuondolewa madarakani, alimuunga mkono Ruto katika ushindi wake wa 2022 na kusaidia kupatikana kwa kura nyingi kutoka eneo lenye wakazi wengi la kati mwa Kenya. Lakini katika miezi ya hivi karibuni , Gachagua amezungumza kuhusu kutengwa, huku kukiwa na taarifa zilizoenea kwenye vyombo vya habari kuwa ametofautiana na Ruto wakati miungano ya kisiasa ikibadilika. Kindiki, mshirika wa karibu wa Ruto, ameshikilia wadhifa wa wizara ya mambo ya ndani katika kipindi chote cha miaka miwili ya Ruto kama rais. Hapo awali aliwahi kuwa seneta wa Kaunti ya Tharaka Nithi na alikuwa mgombeaji mkuu kuwa mgombea mwenza wa Ruto wakati wa uchaguzi wa 2022. Baadaye Bunge litalazimika kupiga kura kuidhinisha uteuzi wa Kindiki kabla ya kuapishwa. #Kenya #seneti #gachagua #kindiki #voa #voaswahili
'Nawaunga mkono wabunge na seneti kwa muelekeo wao...'
- - Duniani Leo ››
- 19 Oct 2024 - Detectives from the e Directorate of Criminal Investigations (DCI) have arrested three suspects, Patrick Njuguna Karogi, James Kiratu, and Susan Njoki Waithira, accused of drugging and robbing revellers in Nairobi.
- 19 Oct 2024 - Kamala Harris and Donald Trump will roll out starkly contrasting celebrity back-up this weekend in Pennsylvania and Michigan -– among the most prized of the battleground states set to decide the tightest of US presidential races.
- 19 Oct 2024 - Detectives from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) have arrested two individuals believed to be the masterminds of a spate of robberies targeting female students at Laikipia University main campus.
- 19 Oct 2024 - A US judge on Friday let Google delay opening Android-powered smartphones to rival app shops, suspending a November 1 deadline ordered in an antitrust case brought by Fortnite-maker Epic Games.
- 19 Oct 2024 - Hamas vowed Friday not to release the hostages seized during its October 7 attack on Israel until the Gaza war ends, as it mourned the death of its leader Yahya Sinwar.
- 19 Oct 2024 - Democratic Action Party of Kenya party leader Eugene Wamalwa claims there is a plot to have the courts schedule a hearing at night this weekend to proceed with the impeachment of Deputy President Rigathi Gachagua.
- 19 Oct 2024 - The move comes months after Ruto dismissed cabinet secretaries.
- 19 Oct 2024 - Industry players have underscored the need to bridge the gap between students and the job market by applying classroom learning to real-world problems. Speaking at a career fair at Zetech University, Wambui Macharia the Manager People and Talent…
- 19 Oct 2024 - The government is targeting to collaborate with the private sector in delivering electronic extension services to farmers across the country.
- 19 Oct 2024 - The directive comes following the impeachment of Rigathi Gachagua as Deputy President.