- 54 viewsRais wa Kenya William Ruto Ijumaa alimteua waziri wa mambo ya ndani Kithure Kindiki kuwa naibu wake mpya, siku moja baada ya baraza la Seneti kupiga kura ya kumtimua naibu wake wa zamani, Rigathi Gachagua. “Nimepokea ujumbe kutoka kwa rais, kuhusu kuteuliwa kwa Profesa Kithure Kindiki kushika nafasi hiyo ambayo imetokea afisini,” Spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang’ula alisema Ijumaa, akiwahutubia wabunge mjini Nairobi. Gachagua, ambaye alikanusha mashtaka yote dhidi yake wakati wa kesi ya kuondolewa madarakani, alimuunga mkono Ruto katika ushindi wake wa 2022 na kusaidia kupatikana kwa kura nyingi kutoka eneo lenye wakazi wengi la kati mwa Kenya. Lakini katika miezi ya hivi karibuni , Gachagua amezungumza kuhusu kutengwa, huku kukiwa na taarifa zilizoenea kwenye vyombo vya habari kuwa ametofautiana na Ruto wakati miungano ya kisiasa ikibadilika. Kindiki, mshirika wa karibu wa Ruto, ameshikilia wadhifa wa wizara ya mambo ya ndani katika kipindi chote cha miaka miwili ya Ruto kama rais. Hapo awali aliwahi kuwa seneta wa Kaunti ya Tharaka Nithi na alikuwa mgombeaji mkuu kuwa mgombea mwenza wa Ruto wakati wa uchaguzi wa 2022. Baadaye Bunge litalazimika kupiga kura kuidhinisha uteuzi wa Kindiki kabla ya kuapishwa. #Kenya #seneti #gachagua #kindiki #voa #voaswahili
'...Uamuzi uliochukuliwa haukuwa na ukabila...'
- 19 Oct 2024 - The Orange Democratic Movement (ODM) has confirmed that it has not joined President William Ruto's broad-based government, nor has it formed a coalition pact with the Kenya Kwanza government.
- 19 Oct 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua is still recuperating at the Karen Hospital in Nairobi where he has been admitted since Thursday, October 17.
- 19 Oct 2024 - The government has sent all 108 officers in the office of impeached Deputy President Gachagua on compulsory leave from Saturday, October 18.
- 19 Oct 2024 - Jomo Kenyatta International Airport (JKIA), East Africa's busiest airport, has been crowned Africa's leading airports at the 2024 World Travel Awards.
- 19 Oct 2024 - Detectives from the e Directorate of Criminal Investigations (DCI) have arrested three suspects, Patrick Njuguna Karogi, James Kiratu, and Susan Njoki Waithira, accused of drugging and robbing revellers in Nairobi.
- 19 Oct 2024 - Uhuru Gardens in Nairobi sluggish, no official government function taking place despite claims of DP-Elect Kindiki's swearing-in; courts have temporarily barred the process.
- 19 Oct 2024 - Legal adviser for independent contender Venâncio Mondlane shot dead alongside a top leader of Podemos party.
- 19 Oct 2024 - Kwale County is all set to host the 61st Mashujaa Day National Celebrations on Sunday at the newly built 10,200 seater capacity Kwale Stadium. While briefing the media Coast Regional Commissioner Rhodah Onyancha accompanied by the government's…
- 19 Oct 2024 - Kamala Harris and Donald Trump will roll out starkly contrasting celebrity back-up this weekend in Pennsylvania and Michigan -– among the most prized of the battleground states set to decide the tightest of US presidential races.
- 19 Oct 2024 - The decision comes hardly hours after reports emerged about the planned swearing-in.