- 77 viewsInaelezwa kuwa Mataifa ya Afrika huenda yakalazimika kuchukua hatua zaidi kwenye mapambano dhidi ya Malaria baada ya kuripotiwa kuwepo aina ya Mbu wenye uwezo mkubwa zaidi wa kuambukiza vijidudu vya Malaria, Aina ya Mbu hao wanatoka kusini mwa bara la Asia, wana tabia tofauti hali inayoongeza wasiwasi katika jitihada za kutokomeza Malaria VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
Aina mpya ya mbu yazua changamoto katika mapambano dhidi ya Maralia Afrika | VOA Swahili
- 12 May 2024 - Israel called on Saturday for Palestinians in more areas of Gaza's southern city of Rafah to evacuate and head to what it calls an expanded humanitarian area in Al-Mawasi, in a further indication that the military is pressing ahead with its plans for a…
- 12 May 2024 - An autopsy report has revealed that Ohangla Dancer Sheila Odoyo popularly known as Sheila Wegesha died due to excessive loss of blood.
- 11 May 2024 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has urged Kenyans to respect the independence of institutions saying they are a pillar to the country's stability.
- 11 May 2024 - Parents of school-going children in flood-hit areas have expressed concerns for the safety of their children ahead of the school opening on Monday.
- 11 May 2024 - President William Ruto's administration has proposed sweeping changes to the country’s Value Added Tax (VAT) system that will see the government raid pockets of millions of Kenyans in the cost of various commodities.
- 11 May 2024 - The Coast region is facing an acute shortage of blood supply due to what health experts say is largely caused by poor eating habits, myths and traditions that have seen a majority of residents shy away from donating blood.
- 11 May 2024 - President William Ruto's Principal Assistant Farouk Kibet has called on leaders from conflict-prone regions to embrace peace and foster unity among their communities.
- 11 May 2024 - The heavy rainfall in parts of the Rift Valley has created worry among locals due to fissures and land cracks in Kaptembwa and Nakuru West.
- » 'We are the vision carriers': David Ndii defends Ksh.1 billion budget allocation to Gov't advisors11 May 2024 - President William Ruto's economic adviser David Ndii has defended the government's bloated budget allocated to its coterie of advisors a day after it was revealed that the elite group would rack up a staggering Ksh.1.1 billion annual bill to the…
- 11 May 2024 - The Independent Electoral and Boundaries C*mmission (IEBC) has addressed the ongoing rumours a*serting that there were non-existent polling stations du**ng the 2022 General Election. For a better part of Friday and Sat**day, a section of Kenyans online…